https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Saturday, March 02, 2013

Benki ya BankABC yadhamini shindano la gofu GYMKHANA

Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya BankABC, Misheck Ugalo, akizungumzia benki yao kudhamini shindano la mchezo wa gofu linaloendelea leo katika Viwanja vya GYMKHANA, jijini Dar es Salaam na kushirikisha wafanyabiashara mbalimbali.
Umeona kiwango?

Ngoja uone kazi leo....

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...