https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Thursday, March 28, 2013

Mbunge wa Chambani, Salim Hemed Khamis afariki Dunia

Mbunge wa Chambani Salim Hemed Khamis (CUF),amefariki dunia muda mfupi uliopita katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili .Taratibu za kuusafirisha mwili kuelekea Pemba kwa mazishi zinafanyika. 

Habari kamili tutaendelea kuzitoa kadri tutakavyokuwa tunazipata kutoka kwa serikali na ndugu, jamaa na marafiki wa marehemu.

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...