https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Friday, March 29, 2013

Jengo la ghorofa 14 laangukia Msikiti Kariakoo



Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
JENGO jipya linaloendelea kujengwa lenye ghorofa 14 limeangukia Msikiti na eneo la Madrasa mitaa ya Kariakoo wakati watoto wapo ndani yake wanaendelea kujifunza masomo ya Kiislamu.
Kamanda wa Polisi, Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Seleman Kova
Habari zaidi juu ya tukio hilo zitaendelea kukujia, ingawa watu waliokuwa kwenye eneo la tukio wanasema kuwa jengo hilo lilikuwa kwenye ujenzi.

Kuanguka kwa jengo hilo, kunahisiwa kuwa kutakuwa kumeua, huku tukisubiri taarifa rasmi za kitaalamu na zitakazotoa ushuhuda na maafa yaliyotokea katika kadhia hiyo.



No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...