https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Sunday, March 31, 2013

Hofu yatanda ghorofa lililoanguka na kupoteza uhai wa watu 21



NaMwandishi Wetu, Dar es Salaam
LICHA ya kufikia idadi ya watu 21 hadi sasa ambao wameshapoteza maisha katika tukio la kuanguka kwa ghorofa mitaa ya Indira Ghandi juzi jijini Dar es Salaam, inatarajiwa kuongezeka kwa marehemu kutokana na mwingiliano wa watu katika eneo hilo.

Watu hao waliofariki wengineo wamekatwa mikono, miguu, vichwa na kupata majeraha makubwa mwilini.
 
Baadhi ya watu waliokuwapo kwenye tukio hilo, wanasema kuwa idadi hiyo ni ndogo kulinganisha na pilika pilika za watu waliokuwapo kwenye eneo hilo, kama Mama Lishe, Ombaomba na wengineo.

Aidha, pembeni yake kulikuwa na msikiti na madrasa ndani yake ambapo watu hao wanaosadikiwa kufunikwa na kifusi bado hawajapatikana mpaka sasa.

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...