https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Wednesday, July 03, 2013

Mhuburi wa nchini Uganda akamatwa mjini Iringa kwa tuhuma za kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu

Mhubiri Raia  wa Uganda Richard Mwangusi, akiwa  chini ya ulinzi wa polisi  usiku  huu baada  ya kutuhumiwa kujipatia  fedha kwa njia ya udanganyifu.
Kamanda  wa  Polisi  Mkoa  wa Iringa (RPC) Ramadhan Mungi akitoka  Kituo  Cha  Polisi mjini Iringa, anaposhikiliwa mhubiri huyo wa nchini Uganda, akituhumiwa kuwa amejipatia fedha kwa njia ya udanganyifu.
Askari Polisi  Mkoa  wa Iringa,  wakiwa nje ya  Kituo Cha  Polisi anaposhikiliwa mhubiri  huyo mwenye asili ya nchini Uganda kwa madai kuwa amejipatia fedha kwa njia ya udanganyifu.

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...