https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Sunday, July 28, 2013

Edgar Mosha, mtoto wa Makamu Mwenyekiti wa zamani wa Yanga, David Mosha afanyiwa majaribio Chelsea nchini Uingereza


DAVIS MOSHA AHOJIWA NA VOA (VOICE OF AMERICA)

Edgar Davis Mosha mtoto wa mfanyabiashara tajiri na maarufu boss wa kampuni ya DELINA  Bwana Davis Mosha ahojiwa na VOA (Voice of America). Edgar na baba yake wametua kwa kishindo nchini Marekani wakitokea Uingereza ambapo Edgar amepeperusha vyema bendera ya Tanzania kwa kuitwa  kufanya majaribio na klabu ya Chelsea ya Uingereza. Swahili TV itakuletea Exclusive video karibuni.

 Davis Mosha "The Boss" akifanya mahojiano na kituo cha VOA jijini Washington DC, kulia ni mwanae Edgar Mosha mwanafunzi mwenye kipaji cha masomo na soka.

Kutoka kushoto; Juliet , Sunday Shomary, Edgar Mosha, Davis Mosha "The Boss" na Chief wa VOA Idhaa ya Kiswahili Dkt. Hamza Mwamoyo.

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...