https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Sunday, July 28, 2013

Mkuu wa wilaya mstaafu azikwa jana makaburi ya Kinondoni

 Jeneza lenye mwili wa Marehemu Shilatu likipelekwa eneo atakalozikiwa maeneo ya makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam. Enzi za uhai wake, marehemu aliwahi kuwa Mkuu wa Wilaya na kulitumikia Taifa kwa moyo wake wote.

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...