https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Monday, July 29, 2013

Washindi saba wa Miliki Biashara Yako kutoka Tigo watangazwa leo na mtandao huo

 
Meneja Chapa wa Kampuni ya Simu za Mikononi ya Tigo Tanzania, William Mpinga, kushoto akichezesha droo yao ya Miliki Biashara Yako kutoka kwenye kampuni hiyo, ambapo mshindi anapewa bajaj Mpya kabisa. 

Anayefuata ni Husni Seif, Meneja Bidhaa wa Tigo na kulia ni Bakari Maggid, Mkaguzi wa Michezo ya Kubahatisha Tanzania. Jumla ya washindi saba walijishindia zawadi zao za bajaj kutoka kwenye mtandao huo wa Tigo na watakabidhiwa haraka iwezekanavyo. Picha na Kambi Mbwana.



No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...