https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Friday, September 27, 2013

Wengine wanasoma shule za gharama na wenzao wana choma mkaa



Mtoto ambaye hajaweza kupatikana jina lake mara moja akijishughulisha na kazi ya uchomaji matanuri ya matofali, kama alivyokutwa maeneo ya Kwachaga, wilayani Handeni mkoani Tanga. 

Mtoto kama huyu anastahili kutumia muda mwingi kusoma na sio kufanya kazi ya matanuri huku akiifanya kazi hiyo kwa kurithi kwa familia yake au sehemu nyingine ya jamii kwa ajili ya kusukuma gurudumu la maisha yake ya kila siku. Picha na Kambi Mbwana.

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...