https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Wednesday, September 04, 2013

Wabunge wa Upinzani watoka nje ya ukumbi wa Bunge kwa mara nyingine tena

PICHA MAKTABA

KWA mara nyingine tena baada ya kuwahi hivyo, wabunge kutoka Vyama vya upinzani leo wametoka nje ya baada Naibu Spika kushindwa kutolea ufumbuzi hoja za upinzani.

Kwa mujibu wa wabunge hao wa upinzani, Ndugai alikusudia kuwaburuza zaidi wabunge hao baada ya baada ya kusimama Tundu Lisu kuuliza muongozo kuhusu kuleta mswaada bila kuwahusisha Zanzibar huku Tanganyika wakihusishwa!

Sakata hilo liliibua malalaamiko mengi kutoka bungeni na hatimae wabunge hao kuamua kutoka nje ya Bunge.

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...