https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Friday, September 20, 2013

Karima ChiChi Mhandeni ashusha mzigo wa nguvu kutoka Dubai

Karima ChiChi Mhandeni, akionekana pichani. Sasa ameleta mali mpyaaaaa kabisa. 

Na Kambi Mbwana, Dar es Salaam
MJASIRIAMALI na mdau wa muziki wa dansi nchini, Karima ChiChi Mhandeni, ameingiza mali mpya katika duka lake linalojulikana kama Chichi Yusuphed lilipo Kinondoni kwa Manyanya jijini Dar es Salaam.

                        
                                           Mzigo mpya huo uneonekana.
                                       Mzo mpyaa kabisa.
Akizungumza mara baada ya kutua katika ardhi ya Tanzania, akitokea Dubai, Chichi alisema amekuja na mali mpya na wateja watakaopata mzigo huo wataukubali.
“Kuna mzigo wa aina mbalimbali hivyo naomba wateja wetu waje kwa wingi kujionea namna tulivyoshusha vitu makini na vyenye uwezo wa kuwatoa bomba,” alisema.
                              Mzigo huu kama kawaida.
Karima ni miongoni mwa wadau makini wa kike wa muziki wa dansi hapa nchini, huku mchango wake ukiungwa mkono na watu wengi.

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...