https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Sunday, September 29, 2013

Hapa ndio stend ya mabasi ya Handeni Mjini



Hapa ndio kituo cha mabasi cha Handeni Mjini kama kilivyopigwa picha hii juzi wilayani humo mkoani Tanga. Ni tofauti na kituo cha mabasi cha Korogwe Mjini, Handeni hali inaonekana kuwa tulivu na hakuna mkanyagano sana. Hii ni kwasababu Mabasi mengi yanayopitia hapo yakitoka Tanga, Dodoma, Dar es Salaam hivyo kukusanya watu wengi mno. Picha na Kambi Mbwana.

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...