https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Saturday, September 07, 2013

Raha hazipo mjini tu ila na vijijini kama kawaida kama walivyonaswa wananchi hawa wakimwaga radhi katika harusi kijiji cha Komsala, wilayani Handeni, mkoani Tanga






Hapo sasa. Watu weweeeee. Hapa vijana hawa ambao majina yao hayakuweza kufahamika mara moja wakionyeshana kazi katika harusi ya kijana mwenzao katika kijiji cha Komsala, wilayani Handeni, mkoani Tanga. Wenyewe wanasema raha zipo kila mahali. Kama ulikuwa hujui haya hapo kama kawaida.




No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...