https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Sunday, January 26, 2014

Wadau wa Cheza Kidansi wakutana kuujadili muziki wa dansi



JANA kulikuwa na kikao cha wadau wa muziki wa dansi hapa nchini kilichoendeshwa na kundi la Cheza Kidansi, linaloendeshwa chini ya mlezi wao Yusuph Mhandeni, maarufu kama Yusuphed Mhandeni, ambaye pia ni Mchumi wa Kata ya Makumbusho wa Chama Cha Mapinduzi CCM.
 Wadau wa Cheza Kidansi wakiwa kwenye picha ya pamoja baada ya kikao cha kujadili maendeleo ya muziki wa dansi nchini. Wa pili kutoka kushoto ni Yusuphed Mhandeni, ambaye ndio mlezi wa kundi hilo.

 Katika kikao hicho, mengi yalijadiliwa yanayohusu maendeleo ya muziki wa dansi hapa nchini kwa ajili ya kuuwezesha muziki huo kufikia malengo.

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...