https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Friday, January 03, 2014

Ajali yatokea Manzese leo na kutoa roho za watu watatu



HABARI zilizotufikia ambazo bado hazijathibitishwa na jeshi la Polisi zinasema kwamba katika Barabara ya Morogoro, maeneo ya Manzese Argentina, ajali imetokea mapema leo saa sita mchana, ikihusisha gari la mizigo lori na bajaj.

Katika ajali hiyo, watu watatu walikufa papo hapo. Taarifa zaidi za ajali hiyo tunendelea kuzisaka na kuzitoa kadri tutakavyozipata kutoka kwenye vyanzo vyetu vya habari.
 

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...