https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Friday, January 03, 2014

Kijiji cha Msomela wilayani Handeni mkoani Tanga chapewa cheti cha ardhi yao

Mkuu wa wilaya ya Handeni mkoani Tanga, Muhingo Rweyemamu akizungumza na wananchi wa kijiji cha Msomela jana baada ya kukabidhi cheti cha ardhi pamoja na ramani ya kijiji hicho, ikiwa ni hatua ya kuwapa umiliki halali wa eneo hilo. Picha na Rajabu Athumani, Handeni


No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...