https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Tuesday, January 28, 2014

Mwandishi wa habari aula uenyekiti UVCCM mkoani Kilimanjaro

Arnold Swai (wa kwanza kushoto)wakati wa upigaji kura, zoezi lilofanyika juzi, wilayani Hai kuziba pengo la nafasi ya Mwenyekiti
Mjumbe wa Halmshauri kuu CCM wilaya ya Hai, Fuya Kimbita, akizungumza katika zoezi la kupiga kura lililoshuhudia Mwandishi wa Habari Leo, Arnold Swai akiibuka kidedea.
Arnold Swai akihutubia baada ya kutangazwa Mwenyekiti Mpya kwa kushinda uchaguzi uliofanyika juzi. Swai alipata kura 151 kati ya kura 222 zilizopigwa
Mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Kilimanjaro, Fredy Mushi, akizungumza na wanajumuiya hiyo muda mfupi kabala ya uchaguzi ulioshuhudia ushindi wa kishindo wa Mwandishi wa Habari Leo, Arnold Swai kuwa Mwenyekiti wa UVCCM wilaya ya Hai.

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...