https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Tuesday, January 01, 2013

Coco beach yafurika sherehe za mwaka mpya



Licha ya ufukwe kuwa sehemu ya starehe kwa watu wengi, lakini baadhi ya wazazi wameshindwa kuwa makini kiasi cha kuwaachia watoto kuogelea bila kuangalia usalama wao. Pichani mtoto huyu aliyembeba mwenzake akionekana akikimbia wimbi la maji katika ufukwe wa Bahari ya Hindi, Coco Beach, baada ya kuangushwa kiasi cha kujiweka hatarini na aliyembeba. Picha na Kambi Mbwana.
Watanzania wanaoishi jijini Dar es Salaam, wakijimwaga katika ufukwe wa bahari ya Hindi, Coco Beach, leo wakisherehekea Sikukuu ya Mwaka Mpya. Ufukwe huo ulijaa watu wengi waliokwenda kutembelea katika eneo hilo wao na familia zao. Hata hivyo, watoto walikuwa wengi wakiingia baharini bila kuwa na waangalizi jambo linaloweza kuwa hatari kwao. Picha na Kambi Mbwana.

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...