https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Thursday, January 31, 2013

Taasisi yajiingiza kupigania maisha ya watu wenye ulemavu

Katibu wa Taasisi ya The John Mashaka, Rabia Bakari, akizungumza kwa ajili ya kufungua mkutano wa waandishi wa habari na wawakilishi wa vyama vya watu wenye ulemavu ili kujadili kwa pamoja ustawi wa walemavu na wengine wasiojiweza. Picha zote kwa hisani ya www.burudan.blogspot.com
Baadhi ya watu wanaotafsili lugha za alama wakiendelea na kazi hiyo wakati wa mkutano
Baadhi ya wawakilishi wakisikiliza kwa makini
Mwenyekiti wa TUSPO Bw. E LLEZER Mdakima kushoto akizungumza wakati wa mkutano huo wengine kulia ni Mjumbe wa Taasisi ya The John Mashaka Bi, Latifa Masasi na Katibu wa taasisi hiyo, Rabia Bakari.

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...