https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Friday, January 25, 2013

Ni shangwe tupu za wafanyakazi wa Clouds Media Group

Shangwe za Clouds Media Group zilizofanyika kwa pati ya aina yake
Mkurugenzi wa Clouds Media Group, Joseph Kusaga, akiwa na mke wake, ambaye pia ni Mkurugenzi wa Prime Time Promotions Ltd, Johayna Kusaga, akizungumza jambo mbele ya wafanyakazi mbalimbali wa kampuni hizo, katika hafla ya mwaka mpya.
Hapo vipi?
Tufurahi jamani. Ndivyo anavyosema Kibonde wa Clouds Media.
Hata humu nipo jamani.
Millard Ayo akiweka kofia yake sawa katika shangwe hizo.
DJ Ziro akiwa kazini sasa.

Wakati wa msosi ulikuwa hivi.
Paul James, ama PJ, Suka, DJ Steve B na DJ Peter wakipata msosi ndani ya maeneo ya Escape 2.
Shangwe za Clouds Media Group zilizofanyika kwa pati ya aina yake
DJ PQ, aliyekaa akipiga stori na Sebastian Maganga.

Regina Malekwa akiburudika katika shangwe hizo, akiwa sambamba na akiwa na wadau wengine wa Clouds.

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...