https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Sunday, August 25, 2013

Hoja ya Muungano inavyowavuta Watanzania katika mitandao ya kijamii

MUUNGANO wa Bara na Visiwani umekuwa ukikumbwa na mfadhaiko mkubwa kutokana na baadhi yao kuuponda kwa sababu wanazojua wao.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete

Katika mitandao ya kijamii watu wengi wamekuwa wakiujadili kila wanavyoweza. Handeni Kwetu Blog imeona ipost maoni ya Watanzania hao juu ya mkanganyiko huo wa Muungano kwa faida ya wote.

Maoni haya yamechukuliwa katika group linalojulikana kama Tanuru la Fikra, huku tukiamini kuwa tutafahamu japo kwa kiasi kidogo jinsi Muunganao huo unavyochukua nafasi ya kujadiliwa.

Hii ndio hoja iliyoingizwa na Abdul Hakeem
na kufuatiwa na maoni ya wengine hapo chini.

Hivi ikitokea TANZANIA ikaongozwa na rais mzanzibari.waziri mkuu mzanZibari.gavana mZanZibari.mabalozi karibu wote wa nje wawe wazanzibar.benki kuu iweko zbr .mji mkuu uwe zbr na mfano wa mambo hayo yaweko zbr. .jee WATANGANYIKA WATAENDELEA KUUPENDA MUUNGANO NA KUJIVUNIA UTANZANIA??
Top of Form
https://fbexternal-a.akamaihd.net/safe_image.php?d=AQApeiGpDHSxjf-c&url=https%3A%2F%2Ffbstatic-a.akamaihd.net%2Frsrc.php%2Fv2%2Fyo%2Fr%2FOKB7Z2hkREe.png

Omar Salim Shakur Shakur muungano haujaanza kukataliwa kwasababu etiya mafuta wazanbar wameanza kuukataa muunga tokea rais jumbe fisadi nyerere alipogundua akamfukuza abdul jumbe kwenye chama na kumueka chini ya ulinzi


Abdul Hakeem AMAN NGOSI zanzbr inanyimwa fursa za kujikwamua kiuchumi licha yakua na rasilimali nyingi na za kutosha kuwatumikia watu wake ambao ni milion moja.tuna bahari kubwa yakutosha.ni eneo zuri la biashara kwa AFRICA MASHARIKI /KUSINI.tuna ardhi nzuri ya kul...See More

Frank Mathias ha ha ha ha ha ha ha ha ha aiseee kweni zanzibar inaiongezea nn tanzania kuwa muungano ukivunjika itakuwa msala kivileee

Zarafi Rashidi faida ya muungano ipo unadhan wakiuvunja watanganyika wamezaa na wazbr na wengine wameweka makaz znbr tumien akil tujikomboe kiuchum hata watalii watatushangaa vikund vya wa2 wachache visitugombanishe

Omar Salim Shakur Shakur tatizo watanganyika asilimia kubwa ni waporipori hususan wanaochangia hii mada

Isaac Nyirenda Kanyunya Kwani Muungano ni chupa ya chai ambayo tumeishika wabara kwamba mnashindwa kutupokonya mkaivunja au!? FANYENI MAPINDUZI HUKOHUKO KWENU ANGUSHENI SERIKALI MUWEKENI PONDA HAPO JUU FULLSTOP. Au kaeni chini ongeeni na rais wenu ateuwe mawaziri wake mjenge wizara zote, mteue mkuu wa majeshi na polisi pia na mambo kama hayo then MKOMESHENI ASIJE BARA MBAKI HUKO HUKO. Muone kama sisi TUTALALAMIKA AU KUANZA VITA!

Peter Mwambola Mi mwenyewe MUUNGANO siutaki kabisa basi tu sina la kufanya tu naongea toka moyoni kabisa

Mathewricky Don Yungweogenesis Sawa baba yetu wa taifa ni fisadi ila wa kwenu mtatawaliwa mpaka na vitukuu na vilembwe vyake vyote pumbafu ninyi. Si mkae kimya msije huku fungeni mipaka wa huko wa huko wa huku wa huku sio mikeleleee tatzo lenu wengi wenu hamjitambui matokeo yake wac...See More

Omar Salim Shakur Shakur tatizo watanganyika asilimia kubwa ni waporipori hususan wanaochangia hii mada

Marryape la Uniquebabe Kua na wafanyakazi wa kibongo n kosa la nani????? Nyie bwana mbona wazenji kibao mnasoma kwe vyuo vyetu na ndo jambo la mcng lkn hakuna anaewafukuza wala kuhoji???bhana eeehhh km vp fanyeni yenu mctupigie kelele

Abdul Hakeem kama tanganyk hainufaiki na muungan kwanni NYERERE alikataa serikali tatu?na kwanini watanganyika ndio wanaoupenda muungano?

Frank Mathias we jamaa haujielewi aisee @omary

Omar Salim Shakur Shakur isaac unaongea usilolijua tunasubirikura ya maoni fullstop

Magdalena Ngonyani yes marryape, wao wamejaa sana huku bara sisi hatusemi, vyuo vyote wamevijaza na asilimia za bodi ya mikopo wanachukua kubwaa, mfano mzuri chuo cha UDOM masters wamejaa wazenji tu robo tatu nzima

Isaac Nyirenda Kanyunya We Abdul hayo mafuta yako wapi tusiotaka kuwaachia!!?? Hiyo 80% ya wafanyakazi inatoka bara kwakuwa wapemba wote hawajasoma hawawezi kuongea na watalii wao wamekimbilia Bara huku kuja kufungu Magenge na maduka sasa cha ajabu nini hapo!!!??

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...