https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Thursday, August 22, 2013

Chadema wafunika mkoani Mbeya

 Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe akiwahutubia wananchi wa jiji la Mbeya, katika mkutano wa hadahara wa Mabaraza ya Wazi ya kujadili rasimu ya katiba, uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Rwanda Nzovwe. (Picha na Joseph Senga)

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...