https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Friday, August 30, 2013

CCM yajitosa sakata la mafao ya wazee Tanzania


Baadhi ya wawakilishi wa Mtandao wa Wazee wakiwa kwenye picha ya pamoja na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye nje ya ofisi za Makao Makuu ya Chama Dodoma leo Agosti 30, 2013.

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na mmoja wa wawakilishi wa Mtandao wa Wazee Bibi Koku , Wazee hao walifika Makao Makuu ya CCM kuja kuzungumza madai ya mafao yao ambayo waliahidiwa na serikali.


No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...