https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Friday, April 19, 2013

MWENYEKITI AKIONA CHA MOTO, AZODOLEWA HADHARANI NA WANANCHI WAKE

Mkurugenzi wa Manispaa ya Dodoma Robert Kitimbo akiwaelekeza jambo maafisa wa polisi walopokuwa kwenye Mkutano wa Hadhara ulioitishwa na wananchi wa kitongoji cha Njedengwa hata hivyo mkutano huo ulivunjika ktokana na wannchi kumkataa Mwenyekiti wao Denis Said.
Mkurugenzi wa Manispaa ya Dodoma Robert Kitimbo Akijadiliana jambo na polisi waliofika katika mkutano wa Hadhara uliovunjika kwa shinikizo la wananchi waliokuwa wakimkataa Mwenyekiti wa kitongoji chao Njedengwa Denis Said aliyekaa mwisho kushoto na anaemfuatia ni Mwenyekiti wa kijiji Cha Dodoma Makulu Bedson Chidumule.
Wananchi wa Kitongoji Cha Njedengwa Kata ya Dodoma Makulu Wakiwa na Mabango yenye Ujumbe wa kumkataa Mwenyekiti walipokuwa kwenye Mkutano wa Hadhara walioudai wananchi hao ambao hata hivyo ulivunjika kutokana na wananchi hao kugoma Mwenyekiti huyo Denis Said asifungue mkutano.
Wananchi wa Kitongoji Cha Njedengwa Kata ya Dodoma Makulu Wakiwa na Mabango yenye Ujumbe wa kumkataa Mwenyekiti walipokuwa kwenye Mkutano wa Hadhara walioudai wananchi hao ambao hata hivyo ulivunjika kutokana na wananchi hao kugoma Mwenyekiti huyo Denis Said asifungue mkutano.

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...