https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Saturday, February 22, 2014

Yanga yafanya mauaji ya mwaka Taifa baada ya kuwatandika bila huruma Ruvu Shooting bao 7-0



MASHABIKI wa timu ya Yanga, leo wameondoka uwanjani na furaha tele baada ya kuishuhudia timu yao ikivuna ushindi mnono wa bao 7-0 dhidi ya Ruvu Shooting, mechi iliyopigwa katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam.

Mabao hayo yalifungwa na Mrisho Ngassa, Simon Msuva, Emmanuel Okwi na Didier Kavumbagu ambao kwa hakika walifanya kazi kubwa kuhakikisha kuwa wanaichabanga timu hiyo inayomilikiwa na jeshi kwa bao nyingi zaidi ili wafunge midomo yao.

 

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...