https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Saturday, February 22, 2014

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani afunga mkutano wa jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro

Kutoka kushoto, Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Ernest Mangu, Katibu Mkuu wa Wizara ya mambo ya ndani, Mubarrak Abdulwakil, Kaimu IGP, Abdulrahman Kaniki, Mkuu wa Polisi Zanzibar, Ali Mussa Ali na DCI, Isaya Mngulu
Maafisa wakuu wa polisi wakishiriki kuimba wimbo wa maadili ya Jeshi hilo.

Kiongozi wa bendi ya MPA, Dogo Vena na kundi lake wakitumbuiza katika hafla ya kufunga mkutano wa makamishna na Maafisa wakuu wa Jeshi hilo.
Msemaji wa Jeshi la Polisi makao makuu, Advera Senso.
IGPErnest Mangu akihutubia wakati wa kufungwa kwa mkutano huo jana
Katibu mkuu wa Wizara ya mambo ya ndani, Mubarrak Abdulwakil (katikati), kushoto kwake ni Mkuu wa jeshi hilo, IGP Ernset Mangu na Kaimu wake DIGP.Abdulrahman Kaniki.

Katibu mkuu akihutubia.

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...