https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Friday, February 21, 2014

Maandalizi ya uzinduzi wa albamu ya Extra Bongo yakamilika, kesho hapatoshi Dar Live

 Mkurugenzi wa Extra Bongo, Ally Choki akizungumzia uzinduzi wa albamu yao utakaofanyika kesho katika Ukumbi wa Dar Live, Mbagala, jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Ramadhan Masanja, Banza Stone akiafutiwa na Super Nyamwela.
 Wacheza shoo wakicheza katika moja ya maandalizi ya tukio lao la kesho.
 Hapo vipi. Kama kawaida.....
Utawataka vijana wa Extra Bongo, kesho patakuwa hapatoshiiii.

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...