https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Tuesday, February 25, 2014

Picha nzuri Rais Museven akisaini Muswada wa kupinga ushoga nchini Uganda

RAIS wa Uganda, Yower Museveni, akionyesha ujasiri wakati anasaini muswada wa kupinga ndoa za jinsia moja, ukiwamo Ushoga. Kwa kusaini kwake kama anavyoonekana pichani, sasa Uganda ushoga utakuwa umezikwa rasmi. Ukibainika utakuwa na kosa la jinai. Museveni amesaini muswada huo huku akibanwa na mataifa makubwa yanayojificha kwenye mgongo wa Haki za Binadamu.

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...