https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Saturday, November 02, 2013

Matokeo ya darasa la saba 2013 yatangazwa na serikali leo na kiwango cha kufaulu kupanda kwa asilimia 6.01 na 28.06

LEO Matoke ya Darasa la Saba yametangazwa huku mwaka huu ufaulu umeongezeka kutoka asilimia 30.72 mwaka jana mbaka asilimia 50.61 mwaka huu kutokana na wanafunzi walio fanya mtihani mwaka huu wa darasa la saba wamefaulu zaidi ukilinganisha na wanafunzi wa mwaka jana Kaimu mtendaji wa Baraza la Mtihani Charles Msonda amesema ufaulu katika masomo yote umepanda kwa asilimia kati ya 6.01 na 28.06 ukilinganisha na mwaka 2012 Mwaka huu watainiwa wamefahulu zaidi katika somo la Kiswahilin kwa asilimia 69.06 na somo walilio faulu kwa kiwango kidogo zaidi ni somo la Hisabati wamefaulu kwa asilimia 28.62 Msonda amesema jumla ya watahiniwa 427,606 kati ya 844,938 walio fanya mtihani huo wamepata alama ya 100 kati ya alama ya 250 idadi hiyo nisawa na asilimia 50.61/
 http://www.necta.go.tz/matokeo_html_2013/psle.htm

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...