https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Friday, December 28, 2012

Subiri kidogo nipo kwenye kikao na waandishi



Mwandishi wa habari wa Capital Radio ya jijini Dar es Salaam, Mastar Tindwa, akiandaa kifaa chake cha kazi mbele ya Katibu Mkuu wa Yanga, Lawrence Mwalusako kulia na Msemaji wa klabu hiyo, Baraka Kiziguto, kama walivyokutwa na kamera ya Handeni Kwetu Makao Makuu ya klabu hiyo muda mfupi uliopita.


Yanga walizungumzia safari yao ya Uturuki waliyopanga kuondoka alfajiri ya Desemba 30 na kukaa huko kwa wiki mbili. Picha na Kambi Mbwana.

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...