https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Saturday, December 29, 2012

Pole sana


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali  Padri, Ambros Mkenda wa Kanisa Katoliki la Mpendae mjini Zanzibar anayeuguza majeraha katika taasisi ya mifupa ya Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (Moi) jijijini Dar es salaam leo, baada ya kupigwa risasi sehemu za mdomoni na watu wasiojulikana. Picha na MpigaPicha wetu.

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...