https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Monday, December 24, 2012

Maisha Miangaiko

Mkazi wa kijiji cha Komsala, wilayani Handeni, mkoani Tanga, Mashaka Abdallah akijishughulisha na ufyatuaji wa matofali kwa ajili ya kumpatia mkate wake wa kila siku. Mashaka aliiambia Handeni Kwetu kuwa tofali moja la tope analiuliza kwa Shilingi 50. Picha na Kambi Mbwana.

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...