https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Thursday, October 24, 2013

Waziri Mkuu Pinda afungua Mkutano wa biashara kati ya Tanzania na China mjini Guangzhou China leo


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifungua mkutano wa Biashara kati ya Tanzani na China kwenye Hoteli ya Dong Fang mjini Guangzhou akiwa katika ziara ya kikazi nchini China Oktoba 24,2013.
Baadhi ya washirki wa mkutano wa Biashara kati ya Tanzania na China wakimsikiliza Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati alipofungua mkutano huo kwenye Hoteli ya Dong Fang mjini Guangzhou akiwa katika ziara ya kikazi nchini China Oktoba 24,2013.
Mkurugenzi wa Kituo cha Uwekezaji nchini, Juliet Kairuki akizungumza katika mkutano wa Biashara kati ya Tanzani na China kwenye Hoteli ya Dong Fang mjini Guangzhou. Mkutano huo ulifunguliwa na Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akiwa katika ziara ya kikazi nchini China Oktoba 24,2013.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mwenyekiti wa Shirika la Ndege la China la Hainan Airlines ,BW. Chen Feng kwenye Hoteli ya Dong Fang mjini Guangzhou akiwa katika ziara ya kikazi nchini China Oktoba 24,2013.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipokea mfano wa ndege kutoka kwa Mwenyekiti wa Shirika la Ndege la China la Hainan Airlines ,BW. Chen Feng baada ya mazungumzo yao kwenye Hoteli ya Dong Fang mjini Guangzhou akiwa katika ziara ya kikazi nchini China Oktoba 24,2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza jambo na Mwenyekiti wa Shirika la Ndege la China la Hainan Airlines,BW. Chen Feng kwenye Hoteli ya Dong Fang mjini Guangzhou akiwa katika ziara ya kikazi nchini China Oktoba 24,2013.Katikati ni Balozi wa China nchini Tanzania,Lu Youqing

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...