https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Tuesday, October 15, 2013

Angalia kisima kinachodaiwa cha maajabu kilichopo kijiji chaa Iyumbu mkoani Dodoma

KISIMANI 1 f3a53
Koo mbili za Wanyazaga na Wambukwa mnyambwa wakiwa wamekusanyika kukizunguka kisima kinachosemekana kimejaa maajabu cha Bwibwi kilichopo katika kijiji cha Iyumbu kilichopo pembezoni mwa Chuo Kikuu cha Dodoma
(UDOM). MAJI 1 fb354
Baadhi ya wananchi wakifurahia kutumia maji yanayopatikana kisima cha Bwibwi kilichopo katika kijiji cha iyumbu Manispaa ya Dodoma, kisima hicho kilichovumbuliwa katikati ya miaka 1,800 kiko katika hatihati ya kufukiwa na eneo hilo lituumike kwa matumizi mengine.
MAJI 2 f8953
Mkuu wa kimila wa kabila la kigogo Lazaro Chihoma akinywa maji yaliyochotwa kisima cha Bwibwi kilichopo Kijiji cha Iyubu Manispaa ya Dodoma, Kisima hicho kinachoaminika ni cha maajabu na mtu anayetumia maji yake hupata Mafanikio ya kiafya na kimaisha: PICHA NA JOHN BANDA

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...