https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Thursday, October 24, 2013

Benki ya NMB yatoa msaada Hospitali ya wilaya Ileje

Naibu Waziri wa Fedha Mhe. Janet Mbene akishukuru uongozi wa benki ya NMB kwa msaada wa mashuka na vitanda vya akina mama katika hospitali ya Itumba wilaya ya Ileje .Msaada huo wenye thamani ya shilingi milioni Tano umetolewa na benki ya NMB kupitia tawi la Ileje mwishoni mwa wiki katika viwanja vya hospitali ya Itumba.
Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Ileje, Nd. Mohamed Mwala akimshukuru Meneja wa Kitengo cha Huduma za Serikali wa NMB , Bw. Elieza Msuya baada ya kupokea msaada wa vitanda na mashuka ya hospitali ya wilaya ya vilivyotolewa na benki ya NMB. Anayeshuhudia makabidhiano hayo ni Naibu Waziri wa Fedha Mhe. Janet Mbene 
Naibu Waziri wa Fedha Mhe. Janet Mbene akimshukuru Meneja wa Kitengo cha Huduma za Serikali wa NMB , Bw. Elieza Msuya baada ya kupokea msaada wa vitanda na mashuka ya hospitali ya Itumba wilaya ya Ileje vilivyotolewa na benki ya NMB. 

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...