https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Friday, October 25, 2013

Mkuu wa kituo cha Polisi wilaya Kilindi mkoani Tanga, Lusekelo Edward akiwa wodini baada ya kupigwa risasi

Mkuu wa Kituo cha Polisi cha Wilaya ya Kilindi mkoani Tanga, Lusekelo Edward, akiwa amelazwa katika Hospitali ya Mkoa Tanga (Bombo), baada ya kupigwa risasi tatu mkononi na ubavuni na watu wasiojulikana katika kijiji cha Lulago wilayani humo juzi. Anayemhudumia ni muuguzi wa zamu wa Hospitali hiyo, Janneth Mkamba. Picha na Salim Mohammed wa Gazeti la Mwananchi.

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...