https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Tuesday, May 27, 2014

Malawi wachezea kichapo cha bao 1-0 dhidi ya Taifa Stars



Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
Timu ya Taifa Stars, leo imeondoka na ushindi waa bao 1-0 dhidi ya Malawi, katika mechi ya Kimataifa ya kirafiki iliyochezwa katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam.

 Bao hilo lilifungwa na Amri Kiemba, aliyetumia vyema krosi ya Shomari Kapombe, akilifunga dakika ya 37 kipindi cha kwanza, huku akizongwa na msitu wa watu.
 
Kuingia kwa bao hilo kuongeza joto kwenye mechi iliyokuwa na ushindani wa aina yake kwa timu zote mbili lakini bado bao hilo lilidumu hadi filimbi ya mwisho kwenye mchezo huo.

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...