https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Tuesday, May 06, 2014

Makamu wa Rais Dkt. Bilal azindua mkutano wa siku mbili wa viongozi wa dini na siasa kuhusu Demokrasia

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akifungua rasmi Mkutano wa siku mbili wa Mazungumzo baina ya Viongozi wa Dini mbalimbali na Wanasiasa kuhusu ujenzi wa Demokrasia, Maendeleo na uimarishwaji wa Amani ulioshirikisha nchi za Afrika na kufanyika kwenye Hoteli ya White Sands, jijini Dar es Salaam, leo Mei 6, 2014. Picha na OMR

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...