https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Thursday, April 03, 2014

Wanafunzi wajifyatulia matofali wenyewe kwa ajili ya shule yao ya sekondari wilayani Handeni

Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Kata ya Kwamatuku, wilayani Handeni, mkoani Tanga wakifyatua matofali kwa ajili ya kuendeleza ujenzi wa shule hiyo. Wanafunzi hawa walikutwa wakiendeleza ujenzi wa jengo linalokusudiwa kuwa Maabara. Picha na Mpiga Picha Wetu, Handeni.

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...