https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Wednesday, April 23, 2014

Jackline Wolper: Wasanii wanaambukizana Ukimwi

Na Rhobi Chacha, Dar es Salaam
STAA wa filamu Bongo,  Jackline Wolper, ameibuka na kusema kuwa baadhi ya wasanii wanaambukizana ugonjwa hatari wa Ukimwi ‘Ngoma,’ wenyewe kwa wenyewe kutokana na kukacha matumizi ya kondomu.
Jackline Wolper, msanii wa Bongo Movie, Tanzania
Akizungumzia hilo, Wolper alisema baadhi ya mastaa wengi wa kibongo wapo wanaoambukizana ‘Ngoma,’ kwa sababu ya kuendekeza ngono zembe hali ambayo ni hatari kwa ustawi wa sanaa hiyo.

“Ni kweli wala siongopi baadhi ya wasanii hatujali matumizi ya kondomu, wito wangu watu wawe waaminifu na wakishindwa basi watumie kinga kwa usalama wa afya zao na ustawi wa tasnia ya filamu.

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...