RAIS KIKWETE AFUNGUA WARSHA KUHUSU MIKAKATI YA UTEKELEZAJI DIRA YA MAENDELEO TANZANIA 2025
Rais Dkt.Jakaya Mrisho
Kikwete akifungua warsha maalumu itakayojadili mikakati ya kutekeleza ili
kufikia Dira ya Maendeleo Tanzania 2025 katika hoteli ya White Sands jijini Dar
es Salaam jana. Warsha hiyo inaongozwa na Waziri Idris Jala Kutoka Malaysia
aliyebobea katika masuala ya Uchumi na Maendeleo.

No comments:
Post a Comment