https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Tuesday, February 26, 2013

Ibrahimu Maokola ajifua kwa ajili ya pambano la Machi 2

Bondia Ibrahimu Maokola akifanya mazoezi ya kujiandaa na mpambano wake na Rajabu Majeshi utakaofanyika katika ukumbi wa DDC Magomeni Kondoa March 2  Mpambano huo utakua wa utangulizi kabla ya mpambano wa Maneno Osward na Japhert Kaseba.Picha kwa hisani ya Super D.

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...