https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Friday, February 08, 2013

Auawa kwa sababu ya kugombea mwanamke mkoani Mbeya



 Mwili wa marehemu Daniel Mwasalemba mwenye umri wa miaka 30, anayedaiwa kuuwa kwa kugombea mwanamke anayejulikana kwa jina la Elizabeth Michael, ukiwa umelala baada ya kutolewa ndani, mtaa wa Itiji Nonde, mkoani Mbeya.


Mtu aliyejulikana kwa jina moja la Peter, akiwa ameshikiliwa akihisiwa kusababisha mauaji ya Daniel, akiwa ni mwenyeji wa Sumbawanga.

Peter, anayedaiwa kusababisha kifo cha Daniel, akiokolewa na wana usalama waliowahi kwenye tukio hilo.

Chumba kinachodaiwa kufanyika mauaji. Picha zote kwa Hisani ya Mbeyayetu.blogspot.com

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...