https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Thursday, February 28, 2013

Waziri wa Nishati na Madini Professor Sospeter Muhongo alipotembelea Makao Makuu ya Kampuni ya BG Uingereza


Makao makuu ya Kampuni ya BG.
Mh waziri Muhongo akisalimia na CEO wa BG Chris.
Mh Waziri akitembelea makao makuu ya BG Group.
Mh Waziri Profesa Muhongo akipokea maelezo kutoka kwa injinia wa BG Group.
Presentation ikiendelea.
Mh Waziri akifuatilia ramani kutoka kwa msemaji wa kampuni ya BG.
Control room ya BG Group.
Picha ya pamoja.
---
Salaam,

Urban Pulse Creative inakuletea picha ya ziara ya Mh waziri wa Nishati na Madini Profesa Muhongo alipotembelea makao makuu kampuni ya BG inayofanya kazi ya uchimbaji wa gesi na mafuta ili kuangalia ufanisi wake na namna gani inavyoweza kutufaa watanzania ikiwekeza nchini kwetu.

Asanteni,

Urban Pulse Creative

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...