https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Wednesday, February 13, 2013

Juliana Shonza wa Chadema alivyoingia kwa miguu yote CCM Mjini Dodoma




Aliyekuwa Makamu Mwenyekiti Baraza la Vijana CHADEMA Juliana Shonza akijitambulisha kwa wana CCM jana tarehe 12/2/2013, katika Makao Makuu ya CCM,mjini Dodoma


Aliyekuwa mgombea Ubunge jimbo la Mbozi Magharibi kwa tiketi ya CHADEMA Mtela Mwampamba akijitambulisha kwa wana CCM,wakati wa sherehe za utambulisho wa wajumbe wa kamati kuu ya CCM.

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...