https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Thursday, March 19, 2015

Semina ya madaktari kuhusu magonjwa ya ngozi yafanyika Dar es Salaam

 Mmoja wa waratibu wa Semina ya madaktari kuhusu magonjwa ya ngozi, Jesinta Mboneko, akimkaribisha mmoja wa washiriki hiyo, Muuguzi katika hospitali ya Mbezi Medical Clinic inayojishughulisha na magonjwa hayo, Sarah Nyabhenda, kwenye ukumbi wa semina hiyo katika hoteli ya Protea Cortyard, Upanga jijini Dar es Salaam, jana jioni.
 Baadhi ya washiriki wakianza kuingia kwenye semina hiyo
 Mkuu wa Idara Chuo Kikuu cha Tiba Muhimbili (MUHAS), Dk. Denis Russa akiwakaribisha washiriki kwa ajili ya kuanza rasmi semina hiyo. Picha zote na Bashir Nkoromo.

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...