https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Friday, December 27, 2013

Ukakamuvu ndio nyumbani kwao vijana wa JKT

Vijana wa Jeshi la Kujenga Taifa JKT Mgambo, wilayani Handeni mkoani Tanga, wakionyesha umahiri wao wa kucheza sarakasi katika Tamasha la Utamaduni wilayani humo la Handeni Kwetu 2013 lililofanyika Desemba 14 mwaka huu katika Uwanja wa Azimio. Vijana hawa kwa pamoja walishirikiana na vikundi mbalimbali vya ndani na nje ya Handeni kulizindua Tamasha hilo la aina yake, ambapo mgeni rasmi alikuwa ni Mkuu wa wilaya hiyo, DC Muhingo Rweyemamu.Picha na Fadhili Athumani.

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...