https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Saturday, December 07, 2013

Chadema mkoani Kigoma kimenuka, watu waandamana kupinga ujio wa Katibu Mkuu Dk. Slaa

Wanachama na wafuasi wa Chadema wakiandamana katika mitaa mbalimbali ya kigoma ili kupinga ziara ya Katibu Mkuu wa Chadema Dk. Slaa mkoani humo pamoja na kupinga maamuzi yanayofanywa na Kamati kuu ya Chadema. Maandamano hayo yanaendelea hivi sasa. Taarifa zaidi tutaendelea kuwapatia kadri tutakavyozipata.

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...