https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Friday, July 11, 2014

Steve Nyerere awaandalia chakula wasanii wenzake

   Rais wa Bongo Movie, Steve Nyerere akizungumza machache wakati wa hafla aliyowakaribisha chakula cha jioni wasanii wa Filamu na wadau mbalimbali wa filamu Bongo ikiwa ni kuungana na wenzao waliokatika mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan. Hafla hiyo ilifanyika ndani ya Great Wall Restaurant iliyopo Osterbay jijini Dar esa Salaam.

 Wageni waalikwa wakisikiliza kwa makini maneno yaliyokuwa yakitolewa na Rais wa Bongo Movie, Steve Nyerere.
 Wasanii wakipata maakuli...
 Wolper na Kajala wakila chakula wakati wa hafla hiyo.…
 Mazungumzo ya hapa na pale hayakukosa...
Kila mmoja aliona ni wakati mwafaka kuongea na mwenzake aliyepotezana nae miaka kadhaa.
 Ilikuwa ni furaha maana wasanii wengine kuonana huwa ni mara chache chache.
Jini Kabula, Mariam Mndeme na Isabela Mpanda wakijumuika katika hafla hiyo.
 Meza ya waheshimiwa...
Ester akiwa na rafiki yake Zilpa.
 Jose Mara nae hakuwa nyuma...
 Samaki aina ya Kaa.
Chaz Baba akipakua chakula.
 Zungu wa GPL akiwa na Mkurugenzi wa Kajunason blog, Cathbert Angelo pamoja na msanii Rich.
 Msanii Nguri wa Muziki wa Bongo Fleva, Profesa J akipata chakula....
 Msanii Haji akimsurubisha samaki aina ya Kaa.
 Mshereheshaji wa hafla hiyo akieleza machache. 

 Msanii JB akiwasisitiza wenzake suala la upendo miongoni mwao.
    Rais wa Bongo Movie, Steve Nyerere akizungumza machache wakati wa hafla aliyowakaribisha chakula cha jioni wasanii wa Filamu na wadau mbalimbali wa filamu Bongo ikiwa ni kuungana na wenzao waliokatika mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan. Hafla hiyo ilifanyika ndani ya Great Wall Restaurant iliyopo Osterbay jijini Dar esa Salaam. 
 Malkia wa Mipasho, Bi. Khadija Kopa akilto nasaha kwa wasanii wenzake pamoja na wadau waliojumuika katika hafla hiyo.
 Wasanii na wadau wakitafakari kwa pamoja.
 Msanii Nguri wa Muziki wa Bongo Fleva, Profesa J akitoa machache. 
 Wasanii wakipongeza Msanii Nguri wa Muziki wa Bongo Fleva, Profesa J mara baada ya kutoa neno zito.
 Mwandishi Sauda Mwilima nae alikuwa ni miongoni mwa wadau walialikwa. 
 Chaz Baba nae hakuwa nyuma kutoa shukrani zake za pekee.
 Mwalimu Julio alikuwa ni miongoni mwa wageni waliofika na kutoa maneno/wosia mzito kwa wasanii.
 Mboni Masimba akieleza machache na kutoa shukrani zake kwa Rais wa Bongo Movie Steve kumutambua kuwa yeye mdau muhimu katika tasnia hiyo.
Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Mbeya, Amani Kajuna alikuwa ni miongoni mwa wageni waalikwa waliohudhuria katika hafla hiyo na kuwakaribisha wasanii hao mkoani kwake ili waweze kufungua milango ya uwekezaji.
  Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Sixtus Mapunda akiwasisitiza vijana namna ya kufanya sanaa yao ikawaletea matunda mema.
 Zamaradi akizungumza machache na wasanii.
 Mboni akipata ukodak na Zungu wa GPL.
Furaha za hapa na pale nazo zilitanda. 

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...