https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Saturday, July 05, 2014

Dickson Samwel Mbiling'i anatafutwa na Ndugu zake

Jina: Dickson Samwel Mbiling'i

Umri miaka 27

Kabila: Mkinga

Dini: Mkristo

Maeneo anayopenda kutembelea:

Iringa, Mbeya, Dar es Salaam na Bagamoyo.

Mtajwa hapo juu anatafutwa na ndugu zake. 
Kwa mara ya mwisho alionekana nyumbani kwake Mwananyamala Mchangani jijini Dar es Salaam siku ya Jumatano ya  Julai 2, 2014.

Wajihi wake ni maji ya kunde mrefu kiasi mwembamba wa wastani. Msamaria mwema yeyote mwenye taarifa zake au atakayemuona popote anaombwa kuwasiliana na ndugu zake kwa namba:-

0754 477226-Moses Mbiling'i

0754 301095-Adrew Mwilingu

0757 000014-Bartholomew Mbiling'i

0784 890389-Ahadi Kakore.

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...